Acts 18:5

5 aSila na Timotheo walipowasili kutoka Makedonia, walimkuta Paulo akiwa amejitolea muda wake wote katika kuhubiri, akiwashuhudia Wayahudi kwamba Yesu ndiye Kristo
Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.
Copyright information for SwhNEN